Mwanamuziki wa benga Joseph Kamaru afariki

0
1586

Mwanamuziki maarufu wa nyimbo za Kikuyu Joseph Kamaru ameaga dunia.

Kamaru alifariki aktibiwa katika hospitali ya MP Shah jijini  Nairobi akiwa na umri wa miaka 79.

Kamaru, atakumbukwa kwa nyimbo zake kama vile  Uthoni Wa Mbathini  na  Tiga Kuhenia Igoti  yaani : wacha kudanganya koti.

Comments

comments