Diamond’s bodyguard complain’s of neglect after accident

0
2273

Diamond Platnumz’s bodyguard Mwarabu Fighter has complained of neglect from his boss and the entire WCB label as a whole.

Mwarabu Fighter was involved in a grisly road accident on 22nd June

“Kijana wangu ambaye alikua anadrive ile pikipiki yangu alipokua anaivuka caterpillar ile refu lakini kabla hajaimalizia mbele akatokea pikipiki ambaye hajaona iles sehemu ameitokea kighafla akakuta huyo wa mbele ambaye ni bodaboda wakakutana uso kwa uso, huyo mwingimne ndio ikawa hivo.

“Hapa ndipo nimeumia sana naskia kwamba nimepasuka kwenye paji la uso, wamenishona nyuzi 14. Mdomoni, katikati ya ulimi umekatika ndio maana nina maumivu sana ya mdomo,”said Mwarabu in his hospital bed.

The bodyguard who has been in the limelight lately over an allegation of having an affair with Harmonize’s girlfriend  has said that he has not received any call or text from his boss even one checking on his progress.

“Labda linaweza kuwa neno kali kusema nimetekelekezwa, lakini ukweli ni kwamba sijapata huduma zozote kutoka kwa Diamond ama WCB, pengine wanajipamga kunisaidia siwezi jua.

“Kwa sasa nahangaikia afya yangu mwenyewe; nashukuru naendelea vizuri nina imani nitapona” he told Ijumaa.

Mwarabu Fighter who has worked with Diamond for five years is rumored to have had fallen out with his boss something Diamond has never spoken about.

Comments

comments