Brazil:Mwanariadha Faith Kipyegon Chepng’etich ameishindia Kenya medali ya tatu ya dhahabu katika mashindano ya olimpiki yanaoendelea jijini Rio janeoro nchini Brazil.
Chepng’etich mwenye umri wa...
Brazil:Mwanariadha wa Kenya David Rudisha ameishindia Kenya medali ya pili ya dhahabu katika mashindano ya olimpiki yanayoendelea mjini rio de janeiro nchini Brazil kwa...
Shirikisho la kimataifa la riadha (IAAF) limeidhinisha rekodi mpya ya mbio za mita 1,000 kwa wanaume, iliyowekwa Februari tarehe 18 na mwanariadha wa Djibouti...
Awendo, KENYA: Klabu kongwe ya kandanda nchini Kenya AFC Leopards Jumatatu ilisajili alama tatu muhimu kwa kupata ushindi wa kwanza msimu huu wa 2016...
BARCELONA, SPAIN: Nyota wa kandanda wa Klabu ya Barcelona Neymar raia wa Brazil pamoja na babake wamejikuta tena matatani, wakidaiwa kukwepa kulipa ushuru.
Viongozi wa...
MELBOURNE: Serena Williams wa Marekani amedhihirisha kuwa yeye ndiye nyota hodari zaidi duniani katika tennis ya wanawake, na huenda akazidi kutawala kwa miaka mingi...
Mchezaji kutoka Tanzania ametuzwa miongoni mwa wanasoka bora zaidi barani Afrika, mwaka ulipkamilika wa 2014.
Mbwana Aly Samatta ndiye mwanasoka bora wa shiriksiho la CAF,...
Shirikisho la kandanda nchini (Football Kenya Federation) limesisitiza kuwa uchaguzi wa matawi madogo ulifanyika kama livyopangwa Ijumaa iliyopita Disemba tarehe 4, na sasa wanajiandaa...
Wakati ulimwengu ukiadhimisha siku ya walemavu Alhamisi, mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini Oscar Pistorius alikuwa na siku mbaya licha ya ulemavu wake wa miguu.
Ni...
Mombasa,KENYA:Idara ya usalama Mombasa inasema imewakamatwa washukiwa wanne wa ujambazi eneo Likoni.
Wanne hao -wanawake wawili na wanaume 2 wamekamatwa wakiwa chumba kimoja cha kukodi...