Daadab,KENYA:Serikali imeanza zoezi la kukagua wakimbizi walio katika kambi ya Daadab, ili kuondoa wakimbizi gushi walio kambini humo.
Waziri wa usalama wa ndani Joseph Nkaissery...
Nairobi,KENYA: Matokeo ya mtihani wa darasa la 8 KCPE yanatarajiwa kutolewa leo.
Matokeo hayo yatatangazwa rasmi na waziri wa elimu Fred Matiang’i.
Awali serikali ilitangaza kuwa...
Nairobi, KENYA: Jaji mkuu David Maraga amekutana na viongozi wa upinzani CORD waliomtembelea ofisini kwake mjini Nairobi.
Katika mkutano huo, jaji mkuu aliwahakikishia CORD kuwa...
Mombasa, KENYA:Sherehe za mashujaa ziligeuka na kuwa vurugu kwa muda mjini Mombasa baada ya wafuasi wa vyama mbalimbali vya kisiasa kuzomeana.
Watu waliodaiwa kuwa...
Nairobi,KENYA:Tume ya huduma za mahakama JSC imempendekeza jaji wa mahakama ya rufaa Philomena Mbete Mwilu kuwa naibu jaji mkuu mpya.
Jaji Mwilu amewashinda majaji wengine...
Nairobi, KENYA:Makamishna wa tume ya uchaguzi nchini IEBC sasa wamemtumia rais Uhuru Kenyatta notisi ya kujiuzulu kwao.
Lakini wameomba kubaki ofisini hadi tume mpya itakapoteuliwa...
Nairobi,KENYA:Bunge la kaunti ya Nairobi jumanne lilipitisha hoja ya kujadili hatua ya kumng’oa mamlakani gavana Evans Kidero.
Wawakilishi 55 wa kaunti hiyo walipiga kura ya...
Nairobi,KENYA:Bunge la Seneti limeunda kamati ya maseneta 11 kuchunguza hatua ya bunge la kaunti ya Nyeri kumtimua mamlakani gavana wa Nyeri Nderitu Gachagua.
Wabunge 32...
Nairobi, KENYA: Aliyekuwa mwenyekiti wa chama cha riadha nchini AK Isaiah Kiplagat ameaga dunia.
Kulingana na taarifa ya famila yake Kiplagat alifariki mapema Jumatano katika hospitali...
Nairobi,KENYA:Makamishna wa tume ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC, wametangaza kuwa wako tayari kujiuzulu.
Lakini walisema wataondoka kwa masharti ya kulipwa pesa zao na marupurupu...
Lamu,KENYA:Kamishna wa Kaunti ya Lamu, Joseph Kanyiri, ametoa onyo kali kwa wanasiasa wa Lamu dhidi ya kuchochea wananchi hasa msimu huu wa sherehe.
Kanyiri anasema msimu huu...