Jubilee yawateua watu 15 kuwa wabunge wa jumuiya ya Afrika Mashariki

0
2003

Niarobi,KENYA: Chama cha jubilee kimewateua watu 15 akiwemo katibu mkuu wa zamani kuwa wabunge wa bunge la Afrika Mashariki EALA.

Wao ni pamoja na aliyekuwa karani wa bunge Justin Bundi na aliyekuwa katibu wa wizara ya usalama wa ndani  Mutea Iringo.

Aidha mbunge wa zamani Simon Mbugua aliyemwachia mbunge wa sasa Yusuf Hassan tiketi ya jubilee pia ameteuliwa kwa bunge hilo.

Wengine ni Eunice Wanjiru Karanja, Irene Cherop Masit, Nelson Dzuya miongoni mwa wengine.

Hii hapa orodha ya majina ya walioteuliwa;

  1. Joe Muriithi Muriuki
  2. Mutea Iringo
  3. Eunice Wanjiru Karanja
  4. Abubakar Ogle
  5. Adan Mohamed Nooru
  6. Simon Mbugua
  7. Irene Cherop Masit
  8. Justin Nthiiri Bundi
  9. Nelson Dzuya
  10. Naomi Jillo Waq
  11. Chepkemoi Saida Stacey
  12. Florence Sergon
  13. Justus Mate
  14. Pius Atok Ewoton

 

Comments

comments