Wanamgambo 10 wa Al-shabaab wameuwa katika kijiji cha Pandanguo kaunti ya Lamu.
Taarifa ya jeshi la KDF imesema ilipata bunduki 7 aina za AK-47 na zana zingine za kivita.
KDF inasema wanajeshi watatu walijeruhiwa kwenye oparesheni hiyo.
Wanamgambo 10 wa Al-shabaab wameuwa katika kijiji cha Pandanguo kaunti ya Lamu.
Taarifa ya jeshi la KDF imesema ilipata bunduki 7 aina za AK-47 na zana zingine za kivita.
KDF inasema wanajeshi watatu walijeruhiwa kwenye oparesheni hiyo.